Manchester United wanahakika ya kumsajili kiungo kutoka Brazil, Willian kwa paundi milioni 30,wakati kiungo Mhispania Juan Mata anatarajiwa kuondoka Old Trafford (Sun)
Kiungo wa Liverpool, Muuingereza James Milner amesema hata katisha ustaafu wake kutoka mechi za kimataifa. (Times)
Haki miliki ya pichaREX FEATURESImage captionMick McCarthy
West Brom hawana mipango ya kumteua mkuu wa Ipswich, Mick McCarthy kama meneja wao baada ya kuondoka kwa Alan Pardew wiki iliyopita.(Express and Star)
Aliyekuwa mshambulizi wa Liverpool atakuwa mejea wa timu ya Feynoord ya chini ya miaka 19 msimu ujao. (mtandao wa Feynoord)
Haki miliki ya pichaPAImage captionEmre Can
Kiungo wa Liverpool na Ujerumani Emre Can, 24, aweza kosa kucheza katika mdimu uliobakia na hata kombe la dunia kwa sababu ya tatizo la mgongo (Mirror)
Qatar itashiriki kama nchi mualikwa katika michuano ya Copa America 2019 (Globo Esporte)
Haki miliki ya pichaREX FEATURESImage captionChris Coleman endured a frustrating afternoon on his return to the Cardiff City Stadium as his Sunderland side lost 4-0
Chris Coleman anasema atabaki kama meneja wa Sunderland hata kama Black Cats wakishushwa na kuwekwa League One. (Mail)
Msahmbulizi wa Watford Richarlison, 20, amehakikishwa nafasi yake katika Vicarage Road hata baada ya kuachwa kwa kushindwa kufunga goli yoyote katika michezo 21.(Mirror)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionThomas Tuchel
Aliyekuwa Menejwa wa Dortmund Thomas Tuchel atachukua nafasi ya Unai Emery kama mkuu wa Paris St-Germain kwenye msimu ujao. (ESPN)
Mshambulizi wa Stoke, Saido Berahino, 24, ametolewa kutoka kundi la kwanza kwenye timu baada ya kutokea akiwa amechelewa kwenye mechi ya chini ya miaka 23, siku ya Jumatatu (Telegraph)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.