Kipa wa timu ya Manchester United, David de Gea (27) anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka tano inayo na thamani ya paundi £350,000 kila wiki. (Sun)
Timu ya Tottenham wanamatumiani kuwa meneja Mauricio Pochettino na wachezaji sita wakuu watasaini makubaliano mapya katika miezi michache inayokuja (Telegraph)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionToby Alderweireld
Timu ya Paris St-Germain wakotayari kumpatia mlinzi Tottenham Toby Alderweireld, 29, mkataba anayoutaka wa paundi milioni 10m-kwa kila msimu kwa miaka mitano wakati Mbelgiji huyo anatarajiwa kuondoka Spurs baada ya mazungumzo kuhusu makubaliano mapya yaliisha. (Mail)
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola atakuwa na timu dhaifu dhidi ya mechi na Manchester United Jumamosi hii, ambapo kishindo ingewapatia tuzo ya Premier League. (Express)
Haki miliki ya pichaSNSImage captionDerek McInnes amewahi kukataa kuhamia timu za Sunderland na Rangers
Derek McInnes, Craig Shakespeare, Michael Appleton, Dean Smith na Graham Potter wako katika orodha ya kuchaguliwa kuwa meneja wa West Brom manager katika majira ya joto. (Times)
Mmiliki wa timu ya Chelsea Roman Abramovich hajafurahishwa na jambo la klabu kukosa kucheza katika ligi ya Champions lakini anasita kumfuta kazi meneja Antonio Conte,ambaye maebakia na mwaka mmoja katika mkataba wake yenye thamani ya paundi milioni 9.5.(Express)
Chelsea wanakabiliana na uwezekano wa kuwapoteza wachezaji tisa katika timu ya kwanza majira ya joto (Telegraph)
Haki miliki ya pichaEMPICS
Mlinzi wa Uhispania na Chelsea Marcos Alonso, 27, anasema kuhangaika kwa timu yake msimu huu imesababishwa na wao kukosa 'uendelevu' na 'bahati' uliowasaidia awali chukua tuzo ya ligi ya Premiere msimu uliopita. (Star)
Liverpool wanamatumaini ya kumpata Valencia Ferran Torres, ikiwa pia timu ya Chelsea pia wanamtaka kijana huyo wa umri wa miaka 18 (Mail)
Everton itatakiwa kukabiliana na vilabu tatu vya Uhispania kama wakitata kumpata mlinzi Wilfried Kanon kutoka Ivory Coast (Sun)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.