Haki miliki ya pichaAFPImage captionWycliffe Kinyamal ameishindia Kenya medali ya dhahabu ya kwanza
Wycliffe Kinyamal ameishindia Kenya medali ya dhahabu ya kwanza katika mbio za fainali za wanaume za mita 800, katika mashindano ya Jumuiya ya madola.
Aliyekuwa bingwa Nijel Amos wa Botswana, aliyemshinda David Rudisha miaka minne iliyopita, aliishia kuwa wa mwisho katika mchuano huo.
Mwenzake Kinyamal, kutoka Kenya, Jonathan Kitilit alishika nafasi ya sita, wakati Joseph Deng, wa Australia, aliyezaliwa kwenye kambi ya wakimbizi baada ya mama yake kukimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan, alishika nafasi ya saba.
Mwanariadha kutoka Afrika Kusini, Caster Semenya, anatarajiwa kupata medali ya pili ya dhahabu, baada ya kumaliza wa kwanza katika raundi ya kuingia katika fainali za mita 800.
Bara la Afrika linatarajia kupata medali zaidi baada ya wanamichezo watano:
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.