"Tunataka kucheza soka la haki, Adeyun, hajamaliza mkataba wake na Stand United, lakini wao wamemtumia kwenye mchezo baina yetu, hii ni makosa huyo kamishina atatupelekea sehemu sahihi, ili haki ipatikane," anasema.
Matokeo ya bao 1-1 ya juzi Jumapili yameiweka timu hiyo kwenye nafasi ya 14 wakiwa na pointi moja.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.