Gareth Bale hakufurahia kutolewa wakati wa kipindi cha mapumziko katika mechi ya robo fainali ya Real Madrid nyumbani dhidi ya Juventus , lakini mshambuliaji huyo wa Wales mwenye umri wa miaka 28 anataka kusalia katika klabu hiyo ya La Liga.(Mail)
Kiungo wa kati wa Manchester United Ander Herrera hajui iwapo ataandikisha mkataba mpya katika uwanja wa Old Traford.
Image captionAnders Herrera
Raia huyo wa Uhispania 28 ana kandarasi na klabu hiyo ya ligi ya Uingereza hadi 2019. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Tottenham na West Ham wanawania kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona ,24,Andre Gomes. (Sport)
Everton inataka kumsajili kiungo wa kati wa Nantes na Ufaransa Kamal Bafounta. (L'Equipe - in French)
Haki miliki ya pichaEMPICSImage captionDrinkwater
West Ham inataka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea mwenye umri wa miaka 28 Danny Drinkwater ambaye alijiunga na the Blues kwa kitita cha £35m last summer. (Telegraph)
Mkufunzi wa Barcelona Ernesto Valverde amemtetea nyota wa klabu hiyo Lionel Messi baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 kukosolewa baada ya timu hiyo kubanduliwa katika kombe la vilabu bingwa .
Image captionLionel Messi
Pia alikana kukosana na mchezaji huyo pamoja na beki Gerard Pique, 31, baada ya mechi hiyo.
Manchester City huenda wakatumia uwanja wao wa Etihad na Manchester United iwapo mipango wa kuurekebisha uwanja wa Old Traffotd itafanyika. (Sun)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionPep Guardiola
Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anasema kuwa Chelsea na Manchester United ziliongoza mpango wa kuanza kutumia teknolojia ya video ya VAR katika ligi ya Uingereza msimu ujao.. (Mirror)
Mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte anasema kuwa sio wa kulaumiwa pekee kufuatia matokeo mabaya ya klabu hiyo kwa kuwa makosa yamefanywa na kila mtu katika klabu hiyo". (Mirror)
Image captionAntonia Conte
Hatma ya mkufunzi wa Arsenal Arsene katika klabu hiyo huenda ikategemea na kikosi chake iwpao kitaishinda klabu ya kaytika nusu fainali ya kombe la Yuropa (Telegraph)
Mshambuliaji wa Arsenal Alexandre Lacazette, 26, anaamini kwamba ushindi wa kombe la ligi ya Yuropa kutaisadia msimu wa Arsenal na kunedeleza uongozi wa Wenmhger katika klabu hiyo.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.