Image captionMshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah
Mkufunzi wa Liverpool Jurgen Klopp amesema kuwa hakuna uwezekano wowote kwamba mshambuliaji wa Misri Mo Salah atauzwa mwisho wa msimu huu. (Daily Mail)
Tottenham inataka kumnunua beki wa West Ham na Ufaransa mwenye umri wa miaka 24 Arthur Masuaku huku ikijiandaa kuondoka kwa beki Danny Rose (Sun)
Image captionMkufunzi wa Tottenham hotspurs Mauricio Pochettino
Mkufunzi wa Tottenham hotspurs Mauricio Pochettino anasema kuwa mshambuliaji wa Uingereza mwenye umri wa miaka 23 Harry Kane amekasirishwa kwa ukosoaji uliofuta baada ya hatua yake ya klabu hiyo kudai bao la pili la timu hiyo dhidi ya Stoke. (Telegraph)
Beki wa West Brom na Ireland , 30, Jonny Evans anatumai kujiunga na klabu ya Manchester City mwisho wa msimu huu. (Mirror)
Image captionkocha wa ManCity Pep Guardiola anataka kusaini kiungo wa kati mmoja na winga.
Kwengineko kocha wa ManCity Pep Guardiola anataka kusaini kiungo wa kati mmoja na winga. (Times - subscription required)
Chelsea inapanga kumsajili mkufunzi wa Napoli Maurizio Sarri kuchukua mahala pake Antonio Conte mwisho wa msimu huu . (Mirror)
Image captionChelsea inapanga kumsajili mkufunzi wa Napoli Maurizio Sarri kuchukua mahala pake Antonio Conte mwisho wa msimu huu . (Mirror)
Barcelona haitaharakisha kandarasi mpya na beki wake mwenye umri wa miaka 24 Samuel Umtiti. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Mkufunzi wa Sunderland Chris Coleman ametetea uamuzi wake wa kuzuia tiketi za mechi za nyumbani ili kujilinda dhidi ya mashabiki wa Newcastle kwa lengo la kuhakikisha kuwa timu hiyo haishushwi daraja. (Northern Echo)
Mshambuliaji wa Leicester na Algeria ,29, Islam Slimani huenda akaweka uhamisho wake wa mkopo katika klabu ya Newcastle kuwa mkataba wa kudumu (Leicester Mercury)
Image captionHarry Winks
Dau la Crystal Palace la £100m kuimarisha eneo moja la uwanja wa Selhurst Park limeungwa mkono na maafisa wa mipango . (Evening Standard)
Mchezaji wa Tottenham mwenye umri wa miaka 22 Harry Winks anapatiwa matibabu na wataalam nchini Qatar huku akitarajia kupona jeraha la kifundo cha mguu.. (Evening Standard)
Image captionNiko Kovac
Mkufunzi wa Eintracht Frankfurt na kocha wa zamani wa Croatia Niko Kovac anatarajiwa kusajiliwa kuwa mkufunzi mpya wa Bayern . (Kicker - in German)
Mchezaji wa Tottenham Danny Rose hatoshiriki katika mechi ya nyumbani dhidi ya Manchester City siku ya Jumamosi kutokana na jeraha la mguu.. (Daily Mail)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.