Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionDe Gea
Real Madrid wamerudia kuonesha kumtaka mlinda mlango wa Manchester United David de Gea,27. Pia wameanza kumuulizia kiungo wa Ufaransa Paul Pogba, 25, na mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial, 22. (Manchester Evening News)
Kiungo wa Monaco, Mbrazil Fabinho,24, anataka kuondoka kutoka klabu hio ya Ligue 1 and kwenda katika timu ya Manchester United (Sun)
Haki miliki ya pichaPAImage captionMohamed Salah
Real Madrid hawataki tena kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah, 25 au mshambuliaji wa Tottenham, Harry Kane , 24.
Liverpoool nao wanafikiria kumchukua Moses Simon,22, kutoka Gent, wakiwa pamoja na timu ya Newcastle na Brighton ambao pia wanafikiria kumdaka winga huyo kutoka Nigeria.(HLN - in Dutch)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Chelsea wanafikiria kutoa meneja Antonio Conte na kumweka mkuu wa Monaco Leonard Jardim wakati wa mwisho wa msimu (Yahoo)
Manchester United watak kumchukua Faouzi Ghoulam, 27 wa Napoli kwa paundi milioni 26. Mlinzi huyo kutoka Algeria atachukua nafasi ya Luke Shaw, 22, anayetarajiwa kuondoka muda wa majira ya joto (RMC via Daily Mail)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionJose Mourinho
Kiungo wa Manchester United Andreas Pereira, 22, anataka kuwa na mazungumzo na meneja Jose Mourinho kabla ya kuamua hatima yake na Old Trafford. Mchezaji huyo kutoka Brazil amepelekwa kwa mkopo La Liga Valencia (ESPN)
Winga wa Bayern Munich Arjen Robben, 34, anasema alikutana na aliyekuwa meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson mwaka 2004 na angejiunga na klabu hiyo wakati huo, ingewapo angepata mualiko kwa akajipata amesajiliwa na Chelsea badala yake.(FourFourTwo)PN)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.