Huu hapa ni mkusanyiko wa picha za kuchekesha na kusisimua za wanyama zilizopigwa mwaka huu, miongoni mwa picha hizi ikiwa moja ya dubu wanaoonekana kukoleza uhusiano wao pamoja na nyingine ya sili.
Picha hizi ziliteuliwa kushindania tuzo za picha za ucheshi za wanyama mwaka huu, katika vitengo vitano.
Jumla ya picha 3,500 ziliwasilishwa kwa mashindano hayo.
Shindano hili huandaliwa kuchangisha pesa na kusaidia shirika la kutetea uhifadhi wa wanyama la Wakfu wa Born Free.
Haki miliki ya pichaTIBOR KERCZ/ BARCROFT IMAGESImage captionPicha hii ya Tibor Kercz ilipewa kichwa 'Nisaidie'
Mshindi wa jumla Tibor Kercz kwa picha hii yake ya bundi anayeonekana kuhitaji usaidizi kujishikilia vyema kwenye tawi mti alitunukiwa kikombe ambacho kilitengenezwa na wanaume na wanawake wenye ulemavu kutoka Tanzania.
Kadhalika, alipewa vifaa zaidi vya kupigia picha.
Alishinda pia tuzo kwenye kitengo cha picha ya kuvutia zaidi ya mtandaoni pamoja na kujishindia safari ya kwenda mbugani Kenya.
Kabla ya picha hii ya Andrea Zampatti kushinda kitengo cha picha za ardhini, picha hii yake ya panya anayeonekana kuangua kicheko ilisambazwa sana mitandao ya kijamii mapema mwaka huu.
Haki miliki ya pichaANDREA ZAMPATTI /BARCROFT IMAGESImage captionRaha mustarehe!
Na ingawa bahari ni kubwa, picha hii iliyoshinda kitengo cha picha za chini ya bahari inaonesha viumbe wanaweza bado kukaribiana sana.
Haki miliki ya pichaTROY MAYNE/ BARCROFT IMAGESImage captionPicha hii ilipewa kichwa 'kofi'
Kitengo cha picha za angani, picha hii ya njiwa mmoja wao akionekana kufuata njia ya moshi wa ndege, iliyopigwa na John Threlfal Preston, Lancashire ndiyo iliyoshinda.
Haki miliki ya pichaJOHN THRELFAL/ BARCROFT MEDIA
Hapa chini ni baadhi ya picha nyingine zilizofanya vyema.
Haki miliki ya pichaCARL HENRY/ BARCROFT IMAGESImage captionTwende kanisaniHaki miliki ya pichaOLIVIER COLLE/ BARCROFT IMAGESImage captionKunani?Haki miliki ya pichaDAISY GILARDINI/ BARCROFT MEDIAImage captionNibebeHaki miliki ya pichaJEAN-JACQUES ALCALAY/ BARCROFT IMAGESHaki miliki ya pichaBENCE MATE/ BARCROFT IMAGESImage captionMapenzi teleHaki miliki ya pichaGEORGE CATHCART/ BARCROFT IMAGESImage captionEti nini!?
Operesheni ya mwisho ya Tundu Lissu imefanyika na kumalizika salama.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alifanyiwa op...Read more »
Haki miliki ya pichaAFPImage captionBado muswada unahitaji kupitishwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza kufanya kazi.
Bunge nchini Rwanda...Read more »
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionHuenda ndege zikatengezwa bila madirisha katika siku za usoni.
Kampuni ya ndege ya Emirates imezindua nd...Read more »
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi
Walimu pamoj...Read more »
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.