Haki miliki ya pichaAFPImage captionUtetezi uliotolewa na mashaidi haukuaminika
Muigizaji nyota wa filamu za Bollywood Salman Khan,amepewa dhamana siku mbili baada ya mahakama kumpa hukumu ya miaka mitano jela kwa kuua aina mojawepo ya swala ambao ni adimu kupatikana duniani mwaka 1988.
Mahakama hiyo iliyoko Jodhpur ilimpa hukumu ya miaka mitano jela pamoja na kumtoza faini ya rupia 10,000 ($154; £109) kwa kosa hilo.Lakini leo mahakama imepokea dhamana yake.
Mahakama ilimuhukumu Khan mwenye umri wa miaka 52,aliuwa swala wawili ambao walikuwa kwenye hifadhi ya Rajasthan wakati akitengeneza filamu yake.
Kundi kubwa la watu lilikusanyika nje ya gereza hilo wakiwa wanacheza ,wakipiga kelele na kuimba mara baada ya kupata matokeo ya hukumu ya muigizaji huyo.
Mwandishi wa BBC,nchini India anasema maoni ya watu hao yalikuwa yanatofautiana juu ya muigizaji huyo kama ni sawa apate dhamana au adhabu kali.
Haki miliki ya pichaAFPImage captionMashabiki wake wakionyesha upendo nje ya jela alilofungwa Khan
Waigizaji wengine wanne ambao walishtakiwa naye baada ya kukamatwa wakiigiza naye filamu hiyo walikutwa hawana hatia.
Khan ambaye alifungwa jela kwa siku mbili ana mpango wa kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo kwa mahakama ya juu.
Nini chanzo cha kesi ya Khan?
Hii ni kesi ya nne iliyowasilishwa dhidi ya mwigizaji huyo inayohusiana na uwindaji haramu wa wanyama wakati walipokuwa wakiigiza filamu ya Hum Saath Hain mwaka 1988.
Operesheni ya mwisho ya Tundu Lissu imefanyika na kumalizika salama.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alifanyiwa op...Read more »
Haki miliki ya pichaAFPImage captionBado muswada unahitaji kupitishwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza kufanya kazi.
Bunge nchini Rwanda...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionArcangeline Fouodji Sonkbou ni miongoni mwa wachezaji waliotoweka, maafisa wa Cameroon wanasema
Wanariad...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKocha wa klabu ya Nice ya Ufaransa Lucien Favre
Kocha wa klabu ya Nice ya Ufaransa Lucien Favre anatajwa...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionHuenda ndege zikatengezwa bila madirisha katika siku za usoni.
Kampuni ya ndege ya Emirates imezindua nd...Read more »
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi
Walimu pamoj...Read more »
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.