Haki miliki ya pichaAFPImage captionBi Grace Mugabe alikuwa na shamba la maziwa na alifungua kituo cha mayatima katika shamb hilo
Mamia ya wanakijiji katika shamba la Arnold katika kijiji cha Mazowe nchini Zimbabwe walivamia shamba la Grace Mugabe ili kusheherekea kung'atuliwa mamlakani kwa kiongozi huyo waliyedai amekuwa akiwanyanyasa na kuwafanya kuwa masikini kwa lengo la kuimarisha mali ya familia yao.
Aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe alijiuzulu siku ya Jumanne hatua iliozua sherehe kubwa miongoni mwa raia wa taifa hilo.
Wanakijiji cha Mazowe ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakizozana na familia hiyo ya Mugabe kuhusu shamba hilo la Arnold wamesema kuwa wanataka kuonyesha ahsante yao kwa wale wote waliofanikiwa kumng'oa madarakani Mugabe.
Kwa saa kadhaa wanakijiji hao waliobeba mabango waliimba na kucheza densi kwa nyimbo za uhuru huku wengine wakikashifu tamaa ya bwana Mugabe na kuandamana nje ya lango la nyumba ya mayatima la Mazowe wakitaka haki kabla ya kuandamana katika kituo cha maduka pamoja na wenzao wanaosherehekea kuanguka kwa Mugabe.
Image captionBi Grace Mugabe
Wengine hususan wazee walikionyesha chombo cha habari cha Newsday majeraha waliopata baada ya kupigwa na maafisa wa polisi.
Waliionya familia ya Mugabe kutoingia katika shamba lao.
''Kwa sababu ya Grace na Mumewe tulilazimika kuishi katika shamba la Arnold kama wafungwa.Walibomoa nyumba zetu kila mara tulipojaribu kujenga.Walifurahia tulipolala nje na wajukuu zetu'', alisema Stella Nikisi mwenye umri wa miaka 65 akionyesha jeraha alilopata katika mguu baada ya kushambuliwa na maafisa wa polisi.
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionHuenda ndege zikatengezwa bila madirisha katika siku za usoni.
Kampuni ya ndege ya Emirates imezindua nd...Read more »
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi
Walimu pamoj...Read more »
Operesheni ya mwisho ya Tundu Lissu imefanyika na kumalizika salama.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alifanyiwa op...Read more »
Haki miliki ya pichaAFPImage captionBado muswada unahitaji kupitishwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza kufanya kazi.
Bunge nchini Rwanda...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.