Habari
zilizotufikia hivi punde zinasema jengo la Clouds Media linaungua moto.
Inaelezwa kuwa sehemu ya jengo hilo imeshika moto na uokoaji
unaendelea. Taarifa za awali zinasema moto huo umetokana na hitilafu ya
umeme kwenye chumba cha kurushia matangazo cha Clouds TV.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wasikubali kuchonganishwa na kwamba Serikali haiongozwi kwa misingi ya kidini bali imeziachia ta...Read more »
MKURUGENZI wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Richard Kayombo akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kigom...Read more »
Mshehereshaji wa Mdahalo wa Kitaifa wa Kilimo cha kisasa kinachozingatia mabadiliko ya tabia nchi, Mtafiti mshiriki wa ESRF, Abdallah Henku aki...Read more »
Polisi mkoani Morogoro, wameanza upelelezi wa tukio la mwanamke mmoja, Amina Mbunda kujifungua nje ya kituo cha Polisi, Mang’ula Morogoro baada ya...Read more »
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.