Image captionMichy Batschuayi aliisaidia Chelsea kuinyoa bila maji Arsenal
Chelsea ilifanikiwa kulipiza kisasi na kujizolea sifa kufuatia kushindwa kwao katika kombe la FA miezi miwili iliopita baada ya Michy Batschuayi kuwasaidia vijana wa Antonio Conte kuicharaza Arsenal 3-0.
Mchezaji huyo wa Ubelgiji alimpigia pasi muruwa Willian katika dakika ya 40 kabla ya Chelsea kufunga dakika mbili baadaye.
Batshuayi baadaye alifunga bao jingine baada ya kipindi cha kwanza na kufanya mambo kuwa 3-0, matokeo ambayo yataipatia motisha kmubwa Chelsea wakati ambapo wanatarajiwa kuchuana na Bayern Munich na Inter Milan ya Itali.
Arsene Wenger hatahivyo atakuwa na wasiwasi mkubwa baada ya Chelsea kuishinda Arsenal kwa urahisi mkubwa.
Ilikuwa chini ya miezi miwili wakati Arsenal iliishinda Chelsea 2-1 katika fainali ya kombe la FA uwanjani Wembley katika mechi ambayo Arsenal ilionyesha mchezo wa hali ya juu.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.