Liverpool iliibuka mshindi wa kombe la Asia awamu ya 2017 mbele ya mashabiki wengi wa timu hiyo mjini Hong Kong.
Mohamed Salah na Phil Coutinho walifunga mabao mawili mazuri na kuishinda Leicester waliokuwa wamefunga bao la mapema.
Huku kukiwa na uvumi kwamba Coutinho huenda akajiunga na Barcelona haikutarajiwa kwamba nyota huyo wa Liverpool angefunga bao la ushindi.
Mechi ilikuwa na kipindi cha kwanza cha kutumbuiza huku washambuliaji wote wa timu hizo wakishiriki.
Coutinho na Salah walikuwa wakionana kwa kipindi kirefu cha mechi.
Leicester ndio ilioanza kufunga baada mchezaji Fuchs kutumia wingi ya kulia kabla ya kupiga krosi nzuri kwa Isaac Slimani ambaye alifungakwa kichwa katika dakika ya 12 kipindi cha kwanza
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
EmoticonClick to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.