Mchezaji wa timu ya Market fc akimiriki mpira na kutoa pasi
Mchezaji wa timu ya Sido fc,Abu Kazumari akimiriki mpira kwenye mchezo dhidi ya Market fc wa ufunguzi wa ligi ya Kazumari cup 2017
Chama cha mpira wa miguu wilaya ya Liwale mkaoni Lindi (LIDIFA),leo imetangaza julai 2017 kuwa tarehe rasmi ya kuanza kwa Ligi ya Kazumari Cup 2017 na kuthibitisha timu 11 zitakazo shiriki ligi hiyo.
Timu zinazoshiriki ni Sido fc,Market fc,Mifugo fc,Mitumba fc,Vijuso fc,Mbaya city,Nyera city,Storaway fc,New generation,Likongowele fc na Wachukuzi fc.
Katika mchezo wa kufunguzi wa pazia la ligi ya Kazumari Cup kulikuwa na mchezo kati ya timu ya Sido fc dhidi ya Market fc umemalizika kwa timu ya Sido fc kuibuka na ushindi wa goli 5-0,mchezo ulipigwa uwanja wa wilaya ya Liwale mkoani Lindi.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza Sido fc iliongoza magoli bila na kipindi cha pili iliongeza goli 3 ikiwa goli mmoja Market fc walijifunga wenyewe mpira alioshindwa kuokoa Ngwadiliro Ngossa na magoli manne yakifungwa na Abu Kazumari,Omari Kijuwineke,Mustapha Himbu na Salmin Mmuka.
Julai 23 kutapigwa mchezo mmoja unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kati ya timu ya Mifugo fc dhidi ya Mitumba fc majira ya saa 10 jioni katika uwanja wa wilaya ya Liwale.
Katibu wa cha chama cha Lidifa Nourdin Kazumari alisema ligi ya Kazumari cup imefadhiliwa na mfanyabiashara wa vifaa vya umeme maarufu kama Kazumari Shop.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.