Image captionNeymar huenda akaikosa michuano ya kombe la dunia kwa kuwa majeruhi
Manchester City na Manchester United zote kwa pamoja zitapambana kujaribu kumsajili nyota wa Brazil Neymar iwapo ataamua kuondoka Paris St-Germain.
Real Madrid pia wanajaribu kupata saini yake, lakini PSG wamesema hawamuachii. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Kufuatia kocha wa Manchester Jose Mourinho kumshambulia kwa maneno mlinzi wa kushoto wa klabu hiyo Luke Shaw, kunaweka pia hatarini kumpata winga wa Real Madrid na raia wa Wales Gareth Bale. (mail)
Gareth Bale ataondoka Real Madrid na kujiunga na Manchester United wakati wa majira ya joto iwapo Zinedine Zidane atasalia kuiongoza miamba hiyo ya Bernabeu .(mirror)
Lakini mshambuliaji huyo wa Real Madrid, ameambiwa na meneja wa Wales na kiungo wa zamani wa Manchester United Ryan Giggs kusalia katika La Liga kuliko kurudi Premier League. (express)
Image captionRashford ataiongoza Uingereza kwenye safu ya ushambuliaji katika michuano ya kombe la dunia mwaka huu
Mshambuliaji wa Manchester United Marcus Rashford, 20, ameibuka kuwa gumzo kwa klabu ya Real Madrid wakihitaji kumsajili majira ya joto. (Sport via Mail)
Vilabu vya Manchester City na Manchester United vinawania kumsajili mlinzi wa kati wa Ujerumani na Bayern Munich Jerome Boateng. (Sun)
Meneja wa Ubelgiji Roberto Martinez haamini kutumiwa kwa kiungo Eden Hazard kama mshambuliaji wa kati, na anaamini kocha Antonio Conte anamtumia visivyo mchezaji huyo. (Express)
Image captionMiongoni mwa vilabu vinavyomuania Sessegnon ni pamoja na United na Tottenham
Kiungo wa Fulham Ryan Sessegnon hataihama timu hiyo iwapo itafuzu kushiriki michuano ya ligi kuu msimu ujao.(Sun)
Mshambuliaji wa West Ham Manuel Lanzini, amekanusha kuihama klabu hiyo na kusema anafurahia maisha katika jiji la London. (West Ham website)
Manchester United imetenga kitita cha Pauni milioni 40 kumshajili kiungo wa Bayern Munich na Brazil Douglas Costa, aliye kwa mkopo Juventus. (Mirror)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.