Matokeo ya uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga uliofanyika leo Jumanne Disemba 5,2017 katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga
Mabala Mlolwa -702
John Festo Makune - 35
Colonel Ngudungi - 02
Mjumbe wa Halmashauri kuu CCM taifa
Gaspar Kileo - 702
Bernad Shigela - 33
Joyce Masunga-02
Msimamizi wa uchaguzi Naibu Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Abdallah Juma Magodi
Mabala Mlolwa

Gaspar Kileo

Wajumbe wakipiga kura

Upigaji kura ukiendelea
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.