
Rais Dkt John Magufuli amesema hawezi kuwasaliti watanzania katika kipindi chake chote cha kuongoza nchi alichopewa na watanzania
Rais Magufuli amesema hakuna vita ngumu kama ya uchumi ambayo anaendelea nayo sasa hasa ya kupigania rasilimali za nchi ikiwemo madini yanayoporwa na kuachia taifa umasikini
Amesema kwa kuwa maechaguliwa kuwa Rais katika kipindi chake chote cha uongozi wake hakuna wa kuichezea Tanzania
Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza katika mkutano wa ALAT jijini Dar Es Salaam
#RaisMagufuli:Mimi ndiye Rais, najua siri zote za nchi hii, nisingeweza kuzunguma yote haya kama siyajui.#ALAT pic.twitter.com/QTv8ER3hhE— ITV (@ITVTANZANIA) October 3, 2017
Post a Comment