0

Wadau wa maendeleo wilaya ya Kilwa,mkoani Lindi,wameishauri  Serikali  mitaala ya kodi kufikisha hadi kwenye Shule za msingi na Sekondari,kwa lengo la kuwajengea wanafunzi kuwa raia wema waweze kuwa na utamaduni wa kulipa kodi hapo baadae.

Ushauri  huo  umetolewa  na baadhi  ya  wakazi  wa wilaya  hiyo, kwenye  mafunzo ya kuwajengea  uwezo  viongozi  wa  Asasi  za  kijamii  na wawakilishi  wa  Chama  cha  walimu (CWT) juu ya umuhimu wa huduma ya elimu na ukusanyaji mapato ya Serikali, yanayofanyika mji mdogo wa Masoko juma lilopita mwezi huu juni.

Post a Comment

 
Top