Mzee
mmoja kutoka Kenya aliyetambulika kama Mzee Kazungu Kandege Hamudi(74)
amejiunga na elimu ya sekondari ili kujiondolea ujinga na kuepukana na
dhana kuwa ni mchawi.
Mzee
huyo amedahiliwa katika shule ya sekondari ya wavulana ya Ganze baada
ya kupata jumla ya alama 134 katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi.
Post a Comment