0
                Bado tatizo la uvuvi haramu limetajwa kushika hatamu katika baadhi ya maeneo kisiwani Zanzibar licha ya Serikali na mamlaka zinazohusika na dhamana ya masuala ya utunzaji wa hifadhi ya bahari kupiga vita kuondoa kadhia hiyo.
        


        Akizungumza na liwale blog, Khalfan amefahamisha kuwa hifadhi hiyo kwa kushirikiana na kikosi cha askari wa baharini KMKM na kikosi cha marine cha jijini Dar-es-salaam hivi karibubi walifanya doria katika hifadhi ya Minai na kufanikiwa kukamata baadhi ya vifaa vinavyotumika kwenye uvuvi haramu ikiwemo  boti moja aina ya vaiba, chupa za gesi 9, mashine 2, viatu pear 4 pamoja na vitu vidogo vidogo.

        Pamoja na hayo, ametoa onyo kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mtu atakaekamatwa akifanya shughuli za uvuvi haramu katika hifadhi hiyo.
        Akizungumza na liwale blog, Khalfan amefahamisha kuwa hifadhi hiyo kwa kushirikiana na kikosi cha askari wa baharini KMKM na kikosi cha marine cha jijini Dar-es-salaam hivi karibubi walifanya doria katika hifadhi ya Minai na kufanikiwa kukamata baadhi ya vifaa vinavyotumika kwenye uvuvi haramu ikiwemo  boti moja aina ya vaiba, chupa za gesi 9, mashine 2, viatu pear 4 pamoja na vitu vidogo vidogo.


        Pamoja na hayo, ametoa onyo kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mtu atakaekamatwa akifanya shughuli za uvuvi haramu katika hifadhi hiyo.

Post a Comment

 
Top