Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijumuika na waumini wengine wa kiislam
katika swala ya Idd El Hajj iliyoswaliwa kwenye Viwanja vya Mwembe
Yanga, Temeke Dar es Salaam leo asubuhi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na waumini wengine wa kiislam wakisikiliza maswaidha wakati wa swala ya Idd El Hajj iliyoswaliwa kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke Dar es Salaam leo asubuhi.
Post a Comment