Michuano ya Mapinduzi Cup
inayofanyika kila mwaka visiwani Zanzibara inatarajiwa kuanza rasmi leo tarehe 30 mwezi 12 saa 2:15 usiku katika uwanja wa amani kwa kuzikutanisha
timu kati ya TAIFA YA JAN’GOMBE dhidi ya timu ya JAN’GOMBE BOYS zote za hapa Zanzibar
michuano hiyo inayoanza kutimua vumbi hii leo imeshirikisha timu
tisa( 9) ,tano kutoka Zanzibar ikiwemo KVZ, Taifa ya Jangombe na Jangombe Boys na Jamuhuri ambazo ndio
wenyeji wa michuano hiyo.
Timu tatu kutoka Tanzania bara ambazo ni Azam,Yanga na Simba huku moja
kutoka Uganda URA ambao ni mabingwa watetezi wa michuano hiyo ya mapinduzi kwa
mwaka 2016 .
michuano hiyo ya Mapinduzi Cup inayoanza hii leo Desember 30 mwaka
2016 inatarajiwa kufika tamati January 13 mwak 2017
Mapinduzi cup huchezwa kwa mfumo wa makundi ambapo Timu zote tisa
shiriki zimegawanywa katika makundi mawili
na yanga anaonekana kuwa kundi B, akiwemo na AZAM . huku vinara wa ligi kuu Tanzania
Bara Simba wao wapo katika kundi A ambapo wapo na bingwa mtetezi URA kutoka
UGANDA.
,,
Angalia
hapo chini nimekuwekea makundi pamoja na ratiba
MAKUNDI MAPINDUZI CUP
KUNDI A : Simba, URA,
KVZ, Taifa ya Jangombe na Jangombe Boys.
KUNDI
B : Yanga, Azam, Zimamoto na Jamhuri.
RATIBA
YA MAPINDUZI CUP .2016-2017
30/12/2016
Taifa ya jang'ombe vs Jang'ombe boys saa 2:30 usiku.
1/1/2017
KVZ VS URA Saa 10:00 alasiri, Simba vs Taifa ya Jang'ombe saa 2:30 usiku.
2/1/2017
Azam vs Zimamoto saa 10:00 alasiri,Yanga vs Jamhuri saa 2:30 usiku.
3/1/2017
Jang'ombe boys vs URA saa 10:00 alasiri,KVZ vs Simba saa 2:30 usiku.
4/1/2017
Zimamoto vs Yanga saa 10:00 alasiri, Jamhuri vs Azam saa 2:30 usiku.
5/1/2017
KVZ vs Jang'ombe boys saa 10:00 alasiri, Simba vs URA saa 2:30 usiku.
6/1/2017
Taifa ya jang'ombe vs KVZ saa 2:30 usiku.
7/1/2017
Jamhuri vs Zimamoto saa 10:00 alasiri, Yanga vs Azam saa 2:30 usiku.
8/1/2017
Simba vs Jang'ombe boys saa 10:00 alasiri ,Taifa ya jang'ombe vs URA 2:30
usiku.
10/1/2017
Saa 10: 00 nusu fainal ya kwanza , Saa 2:30 nusu fainal ya pili.
13/1/2017
FAINAL saa 2: 30 usiku.
Post a Comment