Watu wanne wanaougua virusi vya Zika mjini Florida
huenda ndo visa vya kwanza vya maambukizi nchini Marekani ,kwa mujibu wa
maafisa wa afya nchini humo. Kufikia sasa ,visa nje ya Marekani kusini
na Visiwa vya Caribbean ambapo virusi hivyo vimeenezwa na watu
wanaotembelea eneo hilo am kupitia kushiriki ngono na walioambukizwa.
Visa vinne vya Florida vinazua uwezekano kwamba mbu nchini Marekani
wanaweza kubeba virusi hivyo. Virusi vya Zika vinasababisha ugonjwa
mkali miongoni mwa watu wengi lakini virusi hivyo vinahusishwa na kasoro
ya ubongo miongoni mwa watoto wachanga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment