0

 Watendaji  wa  bank ya  posta wakiwa  na watendaji wa ofisi ya  mkuu wa mkoa wa Lindi  wakiwa eneo  la shule sekondari  Lindi ambayo iliungua  moto hv  karibu  kushoto ni afisa habari  banki hiyo NOVES MOSES
Mkurugenzi  wa  bank ya posta  akiwa na kaimu mkuu wa mkoa wa Lindi Shaibu Ndemanga  wakati  mkurugenzi huyo alipotembelea shule ya sekondali Lindi iliyoungua moto  na kutoa  mchango wa shilingi milioni  5
MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA POSTA TANZANIA, SABASABA MUSHINGI, AKIKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 5 KWA KAIMU  MKUU WA MKOA WA LINDI SHAIBU NDEMANGA  KWA AJILI YA  KUCHANGIA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI LINDI
  Watendaji  wa  bank ya  posta wakiwa  na watendaji wa ofisi ya  mkuu wa mkoa wa Lindi  wakiwa eneo  la shule sekondari  Lindi ambayo iliungua  moto hv  karibu  kushoto ni afisa habari  banki hiyo NOVES MOSES
 
Watendaji  wa  bank ya  posta wakiwa  na watendaji wa ofisi ya  mkuu wa mkoa wa Lindi  wakiwa eneo  la shule sekondari  Lindi ambayo iliungua  moto hv  karibu  kushoto ni afisa habari  banki hiyo NOVES MOSES
 Katibu tawala  mkoa wa Lindi Ramadhani kaswa akiwa na  kaimu mkuu wa mkoa Shaibu Ndemanga  na wafanyakazi wa  banki ya  posta
Mkurugenzi wa bank ya  posta Tanzania  SABASABA MUSHINGI,   akisalimiana  na  katibu tawala  Mkoa wa Lindi Ramadhani kaswa wakati alipotembelea   mkoani humo kuanglia Mahafa  ya shule ya sekondari Lindi jana

Post a Comment

 
Top