0
Kikosi cha Taifa la Ghana
Michezo ya kusaka tiketi ya kushiki michuano ya kombe la mataifa ya afrika mwaka 2017 itayofanyika Gabon itaendelea tena leo
Katika kundi A timu ya taifa ya Djibout itakua nyumbani katika uwanja wake wa Djibouty kukipiga na liberia.
Ghana maarufu kama the Black Stars walioko kundi H watakua wenyeji wa timu ya Mozambique wanaofahamika kama Mambas.
Comoros watashuka dimbani kuwakabili Botswana huku Madagascar akipimana ubavu na timu ya taifa ya Jamuhuri ya Africa ya kati.

Post a Comment

 
Top