KISHIRIKIANA NA
TAASISI
YA CONFUCIUS YA
CHUO KIKUU
CHA DAR ES
SALAAM
Chuo kikuu cha
Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)
kwa kushirikia
na
Taasisi ya
Confucius
ya Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam
kinawatangazia wananchi
wote kuwa chuo kitaendesha kozi
fupi ya lugha
ya Kichina itakayoanza
tarehe
9/1/2016Campus
kuu ya MUST
-
Mbeya. Mwishoni
mwa
kozi hii,
washiriki watakuwa na uwezo wa kusikiliza,
kuongea, kusoma
na kuandika Kichina.
Washiriki hao
wataweza pia kuhudhuria kozi za hatua za kati na za juu zinazofundishwa kwa
lugha
ya Kichina
ndani na nje ya Tanzania.Vilevile, kozi hii itawasaidia wale wanaotarajia
kusoma zaidi
huko China au
kufanya bia
shara , kufanya
kazi na makampuni ya Kichina. Kozi hii itafundishwa na
waalimu kutoka
China.
JINSI YA KUJIUNGA NA KOZI FUP BOFYA HAPAMBEYA UNIVERSITY SCIENCE AND TECHNOLOGY (MUST)
Post a Comment