1. Ukifika kituo chako cha kupigia kura panga
mstari, isipokuwa walemavu, wazee,
wajawazito na wanaonyonyesha wao
watapewa kipaumbele.
2. Mkabidhi msimamizi wa kituo kadi yako ya
kupigia kura ili
aihakiki.
3. Msimamizi wa kituo atasoma jina lako kwa
sauti ili Mawakala wote wa vyama vya siasa
wasikie, wakiwa na shaka
wakuhoji.
4. Pokea karatasi tatu za kupigia kura,
endapo wagombea wote
wanashiriki.
5. Nenda kwenye chumba cha kupigia kura
ambako kuna faragha na
utulivu.
6. Kwa kila nafasi, weka alama ya vema kwa
mgombea
unayemtaka na usiweke alama nyingine
yoyote maana kura yako itaharibika.
7. Kunja na utumbukize kila karatasi kwenye
sanduku husika;
urais, ubunge na udiwani.
8. Chovya kidole kidogo cha mwisho cha
kushoto kwenye wino
maalum kisha wapishe wengine nao wapige
kura yao
SHARE na wengine wajue
Recent Posts
- KARIBU MWENGE WA UHURU 2022 WILAYANI LIWALE APRIL 29,202223 Apr 20220
Wasaanii mbali mbali watakuwepo kukesha nasi! Msagasumu, Dr nyau wakishirikiana na wasanii wa ndaniRead more »
- WATANZANIA TUSIKUBALI KUCHONGANISHWA-MAJALIWA10 Jun 20181
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wasikubali kuchonganishwa na kwamba Serikali haiongozwi kwa misingi ya kidini bali imeziachia ta...Read more »
- Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 09.06.201809 Jun 20180
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
- WANANCHI WA KIGOMBE WATAKIWA KUACHANA NA BIASHARA ZA MAGENDO09 Jun 20180
MKURUGENZI wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Richard Kayombo akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kigom...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.