Timu ya Black Eagle fc Leo imeendelea kutamba baada ya kuilaza timu ya Masasi boys goli 2 kwa bila katika ligi ya Mtenjele cup wilayani Masasi mchezo uliochezwa katika uwanja wa bomani.
Magoli ya Black Eagle yalifungwa na Bashiru Musa Hasani Rajabu na kuipatia timu yao point 3 muhimu katika mchezo wao huo ambao Leo ilikuwa mchezo wao muhimu sana kushinda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment