Mshambuliaji
wa Mancity Wilfried Bonny alifunga bao lake la kwanza na kuiweka kifua
mbele Mancity baada Gareth McAuley kupewa kadi nyekundu.
Fernandinho
na David Silva waliongeza mabao mengine mawili na kuisaidia City
kupunguza idadi ya pointi kati yake na viongozi wa ligi Chelsea kuwa
tatu hadi pale kikosi hicho cha Jose Mourinho kitakapocheza mechi zake
mbili.Hatahivyo mechi hiyo iliangazia sana kutolewa kwa mchezaji McAuley baada ya sekunde 89 pekee,ikiwa ni uamuzi wa mapema sana kufanywa katika ligi ya Uingereza msimu huu,ilipobainika kwamba refa Neil Swarbrick alitoa kadi
Post a Comment