Wauza samaki Akina mama katika hotel ya Starcom Nangurukuru wilayani
Kilwa mkoani Lindi wameaandama hadi ofisi ya mtendaji wa kata kudai
kunyanyaswa na mmiliki wa hotel hiyo. Tukio hilo limetokea jana kwa kile walichodai wamechoshwa kunyanyaswa na mmiliki wa hotel hiyo.
Post a Comment