MKUU wa Mkoa wa Lindi Jordan Godfray Zambi amewataka Watanzania kudumisha amani iliyopo kwa vitendo ili kusukuma mbele juhudi za kujikwamua kiuchumi.
Mkuu huyo wa mkoa alitoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza na wananchi wa wilaya Liwale Kijiji cha Kiangara , mpigamiti, Mlembwe na Lilombe kwenye ziara yake ya siku ya kuhimiza maendeleo wilayani humo
Zambi aliwataka Wana Liwale hususani vijana kudumisha amani iliyopo kwa vitendo kuhakikisha wanailinda kwa vitendo.
”Tunajukumu kubwa la kuilinda amani ya nchi yetu hususani vijana tumeona juhudi za serikali katika kuhakikisha suala la huduma za kijamii inapatikana na ,rushwa inatokomezwa katika jamii
Post a Comment