Image captionSilikoni za vidole kama zinavyoonekana
Mwanamke mmoja nchini Brazil ambaye alikuwa akijihusisha na uwekaji wa vifaa vya kukuza maumbile ya kike kinyume cha sheria amekufa katika shambulio lenye viashiria vya ulipizaji kisasi baada ya upasuaji ambao haukuzaa matunda.
Marcilene Gama amekuwa katika lindi la mzigo wa lawama kutoka kwa wateja wake kutumia mchanganyiko wa madini ya silika kukuza makalio ya wateja wake wa jinsi ya kike.
Wakati akikaribia kifo chake, alikabiliwa na mkono wa sheria mahakamani kwa kosa la kujifanya daktari. Polisi mjini Rio de Jeneiro wanamsaka mwanamume aliyeonekana kwenye mkanda wa video wakati akiingia nyumbani kwa mwanamke huyo usiku wa jumamosi, kabla ya mwili wa mwanamke huyo kuonekana mtaa wa jirani.
Wachunguzi wanaoufanyia utafiti mwili huo wanaeleza kuwa mwili wa bi Gama, ulishuhudiwa huku mikono ya mwanamke huyo ikiwa imefungwa kwa nyuma, na kwamba uso wake ulionesha kuwa ulishambuliwa .
Ndugu wa bi Gama wameshangazwa na taarifa za kuwa ndugu yao alijiita daktari kwani wao wanadai kutokuwa na taarifa hizo, na mara zote wakati wa uhai wake alikuwa akiwaonya wateja wake juu ya matokeo ya upasuaji wa kuongezewa silika.
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionHuenda ndege zikatengezwa bila madirisha katika siku za usoni.
Kampuni ya ndege ya Emirates imezindua nd...Read more »
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi
Walimu pamoj...Read more »
Operesheni ya mwisho ya Tundu Lissu imefanyika na kumalizika salama.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alifanyiwa op...Read more »
Haki miliki ya pichaAFPImage captionBado muswada unahitaji kupitishwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza kufanya kazi.
Bunge nchini Rwanda...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.