Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionEric Bailey wa Manchester United baada ya kupewa kadi nyekundu
Beki wa Manchester United Eric Bailey amepewa marufuku ya mechi tatu baada ya kupewa kadi nyekundu dhidi ya Celta Vigo katika ligi ya Yuropa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 alipewa kadi nyekundu katika nusu fainali ya mwezi Mei tarehe 11 na kukosa fainali dhidi ya Ajax, ambayo United ilishinda 2-0.
Hatahivyo marufuku hiyo sasa imeongezwa na itashirikisha mechi mbili.
Bailey atakosa mechi ya kombe la Supercup dhidi ya Real Madrid tarehe 8 mwezi Agosti na mechi United katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Kesi ya mchezaji huyo wa Ivory Coast haiwezi kumwezesha kukata rufaa kwa sababu soka ya Ulaya haiwezi kubadilisha uamuzi wowote usipokuwa ule ambao ulifanywa kimakosa.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionAliyekuwa beki wa zamani wa klabu ya Real Madrid fernando Hierro
Aliyekuwa beki wa Real Madrid Fernando ...Read more »
Image captionMwandishi wa habari wa Ghana Anas Aremayew Anas akihojiwa na wanahabari kuhusu makala yake ya upelelezi yaliochukua miaka miwili
Takriba...Read more »
Haki miliki ya pichaSPORTPESA
Mabingwa wa ligi ya Tanzania bara Simba wametinga fainali ya michuano ya Super Cup ya kampuni ya Sportspesa baada ya ku...Read more »
Image captionAliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc
Chelsea inakaribia kumsajili aliyekuwa kocha wa Ufaransa na PSG Laurent Blanc kuchukua ...Read more »
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
...Read more »
Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.