Haki miliki ya pichaMARY EVANS PICTURE LIBRARYImage captionMkwe wa Raisi wa Marekani Jared Kushner
Mkwe wa Raisi wa Marekani Donald Trump ambaye ni mshauri wake wa karibu, Jared Kushner, amelieleza jopo lenye kufanya uchunguzi wa kina ilikubaini kwamba anahusika katika kampeni chafu dhidi ya Urusi katika udukuzi wa kura uliosababisha kumuweka madarakani Raisi wa Marekani katika uchaguzi ulio fanyika mwaka jana.
Katika tamko lake la kwanza mbele ya vyombo vya habari wakati akijibu tuhuma hizo, bwana Kushner amesisitiza kwamba hahusiki na tuhuma za namna yoyote katika mawasiliano yake na wawakilishi wa serikali ya Urusi.
Ameeleza kwamba hajawahi kujihusisha kwa namna yoyote na misaada ya kifedha kutoka nchini kwa kufadhili biashara zake.
Kushner ametumia fursa hiyo kuwalaumu viongozi nchini mwake kwa kushindwa kuweka bayana mikutano yake na viongozi wa Urusi kwa vyombo vya ulinzi vya nchini Marekani.
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionHuenda ndege zikatengezwa bila madirisha katika siku za usoni.
Kampuni ya ndege ya Emirates imezindua nd...Read more »
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi
Walimu pamoj...Read more »
Operesheni ya mwisho ya Tundu Lissu imefanyika na kumalizika salama.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alifanyiwa op...Read more »
Haki miliki ya pichaAFPImage captionBado muswada unahitaji kupitishwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza kufanya kazi.
Bunge nchini Rwanda...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.