Aliyekukuwa
mwendesha mashtaka wa cheo cha juu mjini New York, amefichua kwa
alifutwa kazi na Rais Donald Trump baada ya kupokea simu kadha
zisizokuwa za kawaida kutoka kw rais huyo wa Marekani.
Preet
Bharara aliambia shirika la ABC wiki hii kuwa alihisi simu hizo kutoka
kwa Rais Trump zilikuwa zimevuka mipaka ya kawaida inayotenganisha ofisi
ya rais na uchunguzi huru wa uhalifu.
Bwan Bharara alisema kuwa alifutwa baada ya kukataa kuchukua simu ya tatu ya Trump.
Ikulu ya white House haikujibu mara moja madai hayoiya bwana Bharara.
- Trump: Nitamteua mkurugenzi mpya wa FBI haraka iwezekanavyo
- Rais Trump achukizwa na tuhuma za Comey
- James Comey anadaiwa kukataa kumtii rais Trump
Bw Bharara ambaye aliteuliwa na Obama na kuhudumu eneo la
Manhattan, alisema ilionekana kuwa Trumo alijaribui kujenga uhusiano
fulani baada ya wawili hao kukutana mwaka 2016.
"Rais obama hakunipigia simu hata mara moja katika kipindi cha miaka saba unusu," Bw Bharara alisema.
Post a Comment