0


Mchezo kati ya West Harm United dhidi ya Manchester City umemalizika huku timu ya Man City ikiweza kuibuka kwa ushindi wa mabao 0 - 4. Wafungaji Bruyne dakika ya 17, David Silva dakika ya 21, Gabriel Jesus dakika ya 31 na Yaya Toure katika dakika ya 67 kwa mkwaju wa penati.




Mchezo kati ya West Harm United dhidi ya Manchester City umemalizika huku timu ya Man City ikiweza kuibuka kwa ushindi wa mabao 0 - 4. Wafungaji Bruyne dakika ya 17, David Silva dakika ya 21, Gabriel Jesus dakika ya 31 na Yaya Toure katika dakika ya 67 kwa mkwaju wa penati.
Man U imetoka bila bila na Hull City. Man U imeshika namba 6 huku ikiwa na alama 42 huku ikiwa imeongeza kwa kuachwa na alama 4 na Man City ambao wapo nafasi ya 5.

Stoke City 1 - 1 Everton.
Timu ya Everton imekwama kupunguza nafasi ya alama na timu namba 6 ambayo ni Man U baada ya kukubali sare ya bao 1 - 1. Goli la kwanza limefungwa na Peter Croach dakika ya 7 ya mchezo; huku goli la Everton limepatikana baada ya Ryan Shawcross wa timu ya Stoke City kuifunga.

Post a Comment

 
Top