Serikali kupitia Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa umma imetangaza Makatibu Tawala wa Wilaya
walioteuliwa kujaza nafasi zilizokuwa wazi za Makatibu Tawala wa Wilaya
katika Wilaya nyingine mbalimbali.
Orodha kamili ya Makatibu Tawala wa Wilaya 27 walioteuliwa pamoja na vituo vyao vya kazi ni kama ifuatavyo ;-



Post a Comment