0


Mkuu  wa  wilaya wa Ruangwa mkoani Lindi,Joseph  mkirikiti amezitaka  asasi  za  kijamii  kutumia  vizuri  fedha  za miradi  kama zilivyokusudiwa  ili iweze  kuleta tija  kwa wananachi.
Wito  huyo  ameutoa  wakati alipokuwa  anafungua kikao  cha  kutambulisha  mradi  wa  kuwajengea  uwezo  wasaidizi  wa  kisheria  kwa  watendaji  na  viongozi unatekelezwa  na shirika  lisilo kuwa la  kiserikali LIWOPAC kwa  kufadhiliwa  na  shirika la LEGAL SERVICES FACILITY (LSF) uliofanyika  katika ukumbi wa  chama  cha  walimu wilayani  humo.
Mkirikiti alisema ili  kuarakisha   maendeleo  ya  wananchi hakuna  budi  watendaji  na  viongozi  wa  wilaya  hiyo  kuwapa ushirikiano wadau  wa  maendeleo  wakiwemo  Asasi  za  kiraia. 
 
 DC MKIRIKITI  NA LIWOPAC  kwenye  picha  ya  pamoja

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top