Ligi daraja la nne,ligi hii limezaminiwa na mbunge wa jimbo la Liwale,mh, Zuberi Kuchauka (Kuchauka cup 2016) leo ikiwa octoba 24 limeanza kutimua vumbi katika uwanja wa halmashauri ya wilaya ya Liwale mkoani Lindi.
Katika mchezo wa ufunguzi kulikuwa na mchezo kati ya timu New generation dhidi
ya Nangando fc katika mchezo huo New generation imeibuka na ushindi wa
magoli 3-0.
Magoli ya timu ya New generation yalipachikwa na Reheman Mtipa namo dakika ya 20 na Omari Matwiko aliweza kutikisa nyavu dakika ya 41 na dakika ya 88 Reheman Mtipa walipigilia goli la tatu.
SAUTI ZA MAKOCHA WALIPOELEZEA JUU YA MCHEZO WA UFUNGUZI
Post a Comment