Kijana mdogo raia wa Australia amekuwa wa kwanza mtu mdogo zaidi kwa umri kote duniani kuendesha ndege yenye injini moja.
Akiwa
na umri wa miaka kumi na minane tu , Lachlan Smart ni mdogo kwa mwaka
mmoja chini ya raia wa Marekani iliyekua akishikilia rekodi hiyo.
Bw
Smart alitumia muda wa takriban miezi miwili kukamilisha safari yake,
ambapo aliweza kutua katika viwanja ishirini na vinne.
baada ya
kurejea kwenye uwanja wa ndege wa Queensland ambako alianzia safari
yake , kijana huyo alisema anachotamani ni kulala kwenye kitanda chake
tena.
Post a Comment