Mgombea wa kiti cha
urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amesema
mauaji ya watu 50 katika baa moja ya wapenzi wa jinsia moja huko Orlando
inathibitisha msimamo wake kwamba waislamu wapigwe marufuku kukanyaga
ardhi ya Marekani.
Trump amemkashifu mpinzani wake wa chama cha
republican Bi Hillary Clinton, kwa kutodadisi sababu za mtu huyo kutenda
mauaji hayo. Trump amesema hatua kali zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya waislamu
Upande wa Bi Clinton wakitoa risala za pole kwa
waathiriwa wa mkasa huo papo hapo wamemtaja Trump kama mtoto anaejitweza
ovyo kwa jinsi anavyougeuza mkasa huo wa kitaifa kujipongeza binafsi. Wakati huo huo Shirika la kijasusi la FBI limesema
mtu aliyewaua watu 50 kwa kuwafyatulia risasi katika klabu moja ya
wapenzi ya jinsia alikiri kuunga mkono kundi la kigaidi la IS.
Wakati huo huo Shirika la kijasusi la FBI limesema
mtu aliyewaua watu 50 kwa kuwafyatulia risasi katika klabu moja ya
wapenzi ya jinsia alikiri kuunga mkono kundi la kigaidi la IS. Watu 50 waliuawa katika shambulizi la risasi
Fbi wameongeza kusema kuwa wamekuwa wakimfanyia
uchunguzi mtu huyo Omar Mateen tangu 2013 baada ya kutoa matamshi ya
chuki akiwa kazini . Trump amemkashifu mpinzani wake Hillary Clinton kwa utepetevu
Babake Mateen amesema anaamini kitendo alichokifanya
wanawe kilitokana na msukumo wa hisia zake dhidi ya wanaondeleza
mapenzi ya jinsia moja na wala si kwa sababu za kidini.
Naye mkewe
wa zamani Sitora Yusufiy, amemwelezea Mateen kama mtu wa aliyekuwa
tabia za kigomvi na kutaka kupiga watu lakini hakuwa na itikadi kali za
kidini.
Msanii mkongwe wa BongoFleva nchini Afande sele atangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) mwezi huu march mbele ya Rais Dkt. Maguf...Read more »
Mfanyabiashara maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi ambaye sasa amejitosa kwenye ulingo wa siasa, anazindua chama chake a...Read more »
Image captionNkurunzinza amekuwa rais wa Burundi tokea mwaka 2005
Chama tawala nchini Burundi CNDD/FDD kimemtangaza Rais Pierre Nkurunzinza kama kion...Read more »
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro baada ya Tume ya Uchaguzi (Nec), ...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionTrump ana handaki ndani ya nyumba yake ya Mar-a-Lago estate - lakini halina uhusiano wowote na yeye kuwa...Read more »
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.