Magari mengi ya usafiri jijini
Nairobi, Kenya, maarufu kama "matatu" yana kunguni, kwa mujibu wa gazeti
la standard la nchi hiyo.
Kondakta mmoja anaripotiwa kuliambia
gazeti la Standard, kuwa wadudu hao wanatishia kuharibu biashara ya
kutoka na sababu kuwa watu wengi uhofia kupanda "Matatu"
Wadudu hao husambazwa na wateja kutoka kwa nyumba zao bila kujua, ambao kisha hubaki kwenye viti vya magari.
Sasa
wahudumu wa sekta ya usafiri jijini Nairobi, wameanzisha kampeni ya
kuangamiza kungunu hao kwa kunyunyiza dawa na pia kuwataka abiria kutoa
habari ikiwa wataona wadudu hao.
Kupitia safu yetu ya mahusiano, leo nimekuletea makala maalum hasa kwa wanawake kutokana na malalamiko ya wanawake wengi kuwapoteza waume zao. Ki...Read more »
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususani kwa...Read more »
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionHuenda ndege zikatengezwa bila madirisha katika siku za usoni.
Kampuni ya ndege ya Emirates imezindua nd...Read more »
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi
Walimu pamoj...Read more »
Operesheni ya mwisho ya Tundu Lissu imefanyika na kumalizika salama.
Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), alifanyiwa op...Read more »
Haki miliki ya pichaAFPImage captionBado muswada unahitaji kupitishwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza kufanya kazi.
Bunge nchini Rwanda...Read more »
Post a Comment
aprieztmkrdezign
218168578325095
Emoticon
Click to see the code! To insert emoticon you must added at least one space before the code.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.