Aliyekuwa waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza , David Miliband, ametoa wito wa kufungwa kwa kambi zote za wakimbizi duniani.
Bwana
Miliband, ambaye ni rais wa kamati ya kimataifa ya uokozi,anasema kuwa
wakimbizi wanafaa kufanywa raia wa mataifa wanamoishi na kupewa haki ya
kufanya kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment