0


Ligi ya mbuzi vijana cup inayofanyika wilayani Liwale jana kulikuwa na Mpambano kati ya Kubota fc Na Wakaanga sumu fc  umemalizikaa kwa Wakaanga Sumu fc kuibuka Na ushindi wa goli 1- 0 katika mchezo uliopigwa jana katika uwanja wa Shule ya msingi Muungano.
Goli pekee la Wakaanga Sumu fc limefungwa Na Emma Emma katika dakika ya 60.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top