0
Jana March 21 Tume ya Uchaguzu Zanzibar imetangaza matokeo ya uchaguzi ambapo imemtangaza mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein kuwa Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuibuka na ushindi wa asilimia 91.4%.
Nimekuwekea Picha 15 za Matukio mbalimbali wakati wa utangazaji wa matokeo.

.
Hamad Rashid Mohamed ambaye alikuwa mgombea Urais kupitia ADC akimpongeza Dk. Ali Mohamed Shein
.
Hamad Rashid Mohamed ambaye alikuwa mgombea urais kupitia ADC akiongea baada ya  Dk. Ali Mohamed kutangazwa mshindi
.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salum Jecha akimpongeza Rais mteule Dk. Ali Mohamed Shein.
.
Dk. Ali Mohamed Shein, Rais mteule wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Post a Comment

 
Top