0

Waziri wa Afya,maendeleo ya jamii jinsia na watoto Ummy Mwalimu amepiga marufuku biashara ya vyakula katika minada yote iliyopo manispaa ya Dodoma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu katika halmashauri ya manispaa ya Dodoma huku baadhi ya wafanyabiashara katika soko hilo wakigomea utaratibu huo. Juu hali ilivyo na Chini waziri wa afya akiwa katika ukaguzi

Post a Comment

 
Top