Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe
Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la
Katoliki la Dar es salaam, Kardinali Policarp Pengo, katika Taasisi ya
Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili
leo January 1, 2016. Kardinali Pengo alilazwa hospitalini hapo jana
jioni kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment