0
Japo ni Roberto ambaye ni raia wa Zambia ameanza mishemishe zake long time na mpaka sasa akiwa na album mbili, Tanzania ilimfahamu kwa kishindo kupitia hit single ya ‘Amarulah’ ambayo iliingia mpaka kwenye Top5 ya CloudsFM Top 20.
Hii video mpya ya ‘Am gon love her‘ ft. Sebastian Dutch ni kutoka kwenye album ya Amarulah, video imefanywa Durban, South Africa

Post a Comment

 
Top