Takriban polisi 10
wa Uturuki wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililotegwa
ndani ya basi dogo mashariki mwa nchi hiyo .
Shambulio hilo
limetokea siku mbili baada ya shambulio jingine dhidi ya magari ya
kijeshi ya Uturuki kusini magharibi mwa nchi hiyo lililowauwa askari 16.Maafisa wamewalaumu wapiganaji wa kundi la kikurdi la PKK kwa mashambulio hayo .
Wakati huo huo ndege za kijeshi za Uturuki zimefanya mashambiulizi zaid ya uvamizi dhidi ya ngome za PKK nchini Iraq.
Post a Comment