0

Mkuu wa wilaya ya Masasi Bernard Nduta amehitimisha mafunzo ya usalama barabarani kwa waendesha vyombo vya moto (bodaboda) 454,sherehe hizo za kuitimisha mafunzo hayo yamefanyika katika maeneo ya viwanja vya mduleni Leo mjini masasi.
Mkuu wa wilaya aliushukuru uongozi wa  chuo cha FUTURE WORLD VOCATIONAL INSTITUTE kwa kusaidia kuendesha mafunzo hayo  ambayo wahitimu hao wakiwa wamepatiwa vitambulisho vitakazowawezesha kupata leseni halali ndani ya muda ya  miezi mitatu.
Ismail Mute ni mmoja kati ya wahitimu hao alisema mafunzo hayo ni elimu muhimu kwa walioshiriki na huku akiwaasa vijana engine kutopuuzkutopuuzia pindi kutokeapo nafasi kama hizo muhimu.

Post a Comment

 
Top